Quintellaakn
Member
- Sep 29, 2022
- 6
- 4
Genuine sir, karibuGenuine au Dubai??
Inaonekana we mtaalam sana.... GENUINE au DUBAI inamaana gani?Genuine au Dubai??
Sokoni kuna simu za aina mbili, original mpya ambayo imetoka kwenye viwanda vya Samsung/Apple na haijawahi kutumika sehemu yeyote,Inaonekana we mtaalam sana.... GENUINE au DUBAI inamaana gani?
Una buying proof yeyote i.e reciept?Genuine sir, karibu
Picha ya nyuma ni ya kugoogleNauza Samsung note 10+, haina shida yoyote. Bei Tshs. 300,000/= kwa mwenye uhitaji tafadhali anipigie kwa namba 0685063688.
Karibuni sana.
Anhaa...kwa hivyo ulipaswa kuuliza ni Original ama copy...au New ama Used au refurbished..!Sokoni kuna simu za aina mbili, original mpya ambayo imetoka kwenye viwanda vya Samsung/Apple na haijawahi kutumika sehemu yeyote,
Sasa kuna ambazo wanaita refurbished, used kutoka nje hizi zinauzwa sana hapo kariakoo na zinanunuliwa kwa wingi kuliko original maana bei ya original ni kubwa zaidi, lakini pia quality yake kuanzia processor, kioo, camera na performance kiujumla ipo chini japo ni ngumu kutofautisha kwa mtu asiyefahamu simu
Kariakoo refub, copy, used from outside zote ni kama wamezieka kwenye category moja ndio tunaita dubai, maduka machache yanayouza genuine ndio watakuuzia kulingana na ulivyotajaAnhaa...kwa hivyo ulipaswa kuuliza ni Original ama copy...au New ama Used au refurbished..!
nb:- SIDHANI KAMA DUBAI WANATUMIA COPY, INGAWA REFURBISHED ZIKO KILA MAHALA HATA AMERICA/CHINA/KOREA...!