Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,204
- 7,648
Bei 150,000
Used but New
Ni toleo lile la kwanza...Ili haribika Kioooo so nimebadilisha baada ya kupata Kiooo ORIGINAL kwenye NOTE 1 nyingine so kioo kilichowekwa ni vilivyokuja na simu sio hivi separate.
Picha ya simu ndani ya kiooo ni Clean kama simu ni mpya kabisa.....Haina tatizo lolote.
KULIKO utumie tecno ya 250 ni mara nne ununue hiii SAMSUNG hutojutia Najua mtafikiri napiga Promo lakini ninachosema ni ukweli Tokea moyoni.
SAMSUNG NOTE 1 one of the BEST kwa wale wapenda simu zenye display KUBWA hiii ndio habari yake.
STORAGE 16GB
LOCATION : DAR ES SALAAM/UBUNGO
CONTACT : weka namba yako kwenye comment Ntakupigia mwenyewe (kwa mhitaji)
RAM 2GB
Used but New
Ni toleo lile la kwanza...Ili haribika Kioooo so nimebadilisha baada ya kupata Kiooo ORIGINAL kwenye NOTE 1 nyingine so kioo kilichowekwa ni vilivyokuja na simu sio hivi separate.
Picha ya simu ndani ya kiooo ni Clean kama simu ni mpya kabisa.....Haina tatizo lolote.
KULIKO utumie tecno ya 250 ni mara nne ununue hiii SAMSUNG hutojutia Najua mtafikiri napiga Promo lakini ninachosema ni ukweli Tokea moyoni.
SAMSUNG NOTE 1 one of the BEST kwa wale wapenda simu zenye display KUBWA hiii ndio habari yake.
STORAGE 16GB
LOCATION : DAR ES SALAAM/UBUNGO
CONTACT : weka namba yako kwenye comment Ntakupigia mwenyewe (kwa mhitaji)
RAM 2GB