inzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 296
- 285
Anae jua junsi ya kutatua tatizo la samsung kutosoma mtandao yani uki search network ukitaka kuconnect inagoma na inakuambia not registering on network/unable to connect, ukiwasha data inasoma lakini sim na txt haziingii (huwezi kupokea/kupiga sim wala kutuma/kupokea txt) simu ni samsung galaxy s4