BUMIJA JF-Expert Member Joined Oct 19, 2011 Posts 6,182 Reaction score 11,779 Jul 20, 2024 #1 Salamu. Simu zote ni nzuri ila najua kuna mahala zinazidiana ubora na gharama.Kwa ujuzi wako kati ya hizo kampuni nani bora sana?
Salamu. Simu zote ni nzuri ila najua kuna mahala zinazidiana ubora na gharama.Kwa ujuzi wako kati ya hizo kampuni nani bora sana?
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 24,688 Reaction score 56,423 Jul 20, 2024 #2 Samsung wana shida sana kwenye power. Kila mahali lazima utembee na charger! Wanazidiwa hadi na Infinix una uhakika wa kutunza charge at least 24hrs!
Samsung wana shida sana kwenye power. Kila mahali lazima utembee na charger! Wanazidiwa hadi na Infinix una uhakika wa kutunza charge at least 24hrs!