enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,096
- 3,651
Nb napatikana Mwanza mjini.
Mkuu hii ni biashara bargaining ruksaKumbe Mwanza,sawa kwa hiyo bei mkuu
Hahahahahahah mkuu huko ni kuninyonga.....sema nini panda panda kidogoHuko utawakamata wasukuma tena wakiona videos hata ng'ombe utapewa mkuu kwa mimi nakupa laki moja tu
Hiyo simu mpya dukani unaipata kwa 220k wewe unauza USED kwa 300k!!!!Hahahahahahah mkuu huko ni kuninyonga.....sema nini panda panda kidogo
Exchange with Lenovo A1000 nakuongeza na 50k nichek watsapp 0652105601
Simu ya Samsung j2 inauzwa bei ni 300,000Tshs kwa aliye serious karibu tubonge .![]()
Nb napatikana Mwanza mjini.