Hiyo simu ni ya wizi ndio maana unaita watu wasapp uwatapeli?watu wa arusha ni wa ajabu ajabu sana,wezi na matapeli,unalazima ufuatwe wasapp ili iweje?ili uwaibie watu?alafu unajidai mkali,we huuzi simu kuna kitu kingine unauza kwa Avatar hyo,we tangaza biashara zote na bei zake hapahapa utapata wateja wa biashara zako zote mbili!
Nipo tabata ukitaka kweli tunaonana na unaiona simu yenyewe, sio ya wizi bwana simu ni mpya tu ya demu mmoja jirani yangu kuhusu lisiti sijamuuliza ila inaweza ikawepo ila sina uhakika.
Mm me na mwenye simu ni ke
Uliza swali lengine