habari wana jamvi
nauza samsung galaxy s5 bei chee kabisa tsh 600,000/= mzigo upo ktk halinzuri sana 7bu umetumika miezi minne tu!.
pia naweza fanya exchanges na mwenye smartphone yoyote ambayo ipo ktk hali nzuri na yenyemuonekano mzuri pia na kiasi cha pesa kisichopungua tsh 400,000/= so kazi kwako kuniambia una simu ya ainagani ili tufanye biashara faster. 7bu ninashida ya 400k ya haraka so hii nikwawale watakao hitaji exchanges!!