Samsung Galaxy S5 bei sawa na buree!

Tayo zeboss

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
467
Reaction score
196
habari wana jamvi
nauza samsung galaxy s5 bei chee kabisa tsh 600,000/= mzigo upo ktk halinzuri sana 7bu umetumika miezi minne tu!.

pia naweza fanya exchanges na mwenye smartphone yoyote ambayo ipo ktk hali nzuri na yenyemuonekano mzuri pia na kiasi cha pesa kisichopungua tsh 400,000/= so kazi kwako kuniambia una simu ya ainagani ili tufanye biashara faster. 7bu ninashida ya 400k ya haraka so hii nikwawale watakao hitaji exchanges!!

call 0713943432
email tayozeboss@Gmail.com
 
picha ndo hzooo
 

Attachments

  • 1430065877224.jpg
    65.6 KB · Views: 221
  • 1430065892369.jpg
    74.7 KB · Views: 205
  • 1430065910364.jpg
    33.8 KB · Views: 200
  • 1430065926569.jpg
    68.2 KB · Views: 193
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…