Samsung galaxy S5 16GB for sale 380,000/=

Samsung galaxy S5 16GB for sale 380,000/=

DUMEGUY

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
499
Reaction score
206
s5 inauzwa inacrack kwenye mfuniko kwa nyuma ni og bei chee tatizo mfuniko wa kubadili tuu haina tatizo lolote lingine kwa 380000. nipm
 

Attachments

  • IMG-20151102-WA0001.jpg
    IMG-20151102-WA0001.jpg
    99.1 KB · Views: 333
  • IMG-20151102-WA0003.jpg
    IMG-20151102-WA0003.jpg
    106.8 KB · Views: 315
  • IMG-20151102-WA0004.jpg
    IMG-20151102-WA0004.jpg
    147.5 KB · Views: 316
  • IMG-20151102-WA0006.jpg
    IMG-20151102-WA0006.jpg
    64.2 KB · Views: 314
sio copy mkuu ni og
s5 inauzwa inacrack kwenye mfuniko kwa nyuma ni og bei chee tatizo mfuniko wa kubadili tuu haina tatizo lolote lingine kwa 380000. nipm
hiyo sio Original, ni zile clone. Angalia vitu hivyo nimeonyesha kwa mshale mwekundu.
1. Lens ya Camera. Hiyo camera lens ya simu yako ni size ndogo zile za VGA (0.3mp au 1.3mp). S5 Original ina lens kubwa.
2. S5 Original kwa nyuma ukitoa mfuniko in screw 3 tu ili kuwezesha water resistance. Hiyo yako in screw 9.
3. Utofauti mwingine kwenye flash light ya camera.
4. Tofauti nyingine kwenye huo mshale wa R1 R2

IMG_20151102_WA0001.jpg


Original inakuwa hivi:

samsung-galaxy-s5-6.jpg
 
hiyo sio Original, ni zile clone. Angalia vitu hivyo nimeonyesha kwa mshale mwekundu.
1. Lens ya Camera. Hiyo camera lens ya simu yako ni size ndogo zile za VGA (0.3mp au 1.3mp). S5 Original ina lens kubwa.
2. S5 Original kwa nyuma ukitoa mfuniko in screw 3 tu ili kuwezesha water resistance. Hiyo yako in screw 9.
3. Utofauti mwingine kwenye flash light ya camera.
4. Tofauti nyingine kwenye huo mshale wa R1 R2

IMG_20151102_WA0001.jpg


Original inakuwa hivi:

samsung-galaxy-s5-6.jpg


Asante umesaidia weng
 

Battery imenadikwa 'S5 Original Geniune Battery'.....
Typical clone....


hiyo sio Original, ni zile clone. Angalia vitu hivyo nimeonyesha kwa mshale mwekundu.
.....
 
Nilivyona FM Radio tu hapo nikajua ni fake.
 
Nilitaka kuingia mkenge asanteni wakuu kwa kuweka mambo wazi ndio raha ya jamiiforums
 
Duuhh.. nyie wajuaji muwe mnasema km mpo karibu kabla watu hawaja post lol.. Brakelyn umetishaa!!
 
Last edited by a moderator:
kuna ujanja huu mpya Siku hizi, mtu anauza clone ila akitaka aindoe gumzo kwa mteja kwamba ni feki yeye huvunja mfuniko au kucrack sehemu yoyote ili mteja aelekeze maswali kwa namna gani anaweza kupata mfuniko mpya na kusahau kabisa kufikiria mambo ya kuproove kuwa simu ni og
 
nilipewa na mtu wakuu niuze sikuichuchunguza, nimecheki geekbench 3 nimeona kua ni clone samahani kwa usumbufu wowote uliojitokeza, nilicheki imei pekee nikajua og. sor sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom