Samsung galaxy s3 mini

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,444
Nataka kununua híi simu mda si mrefu.. Naomba mtu aliye na uzoefu nayo anipe detail zake zote wakuu, je ni simu nzuri kwa matumizi, n.k n.k.

Au kama kuna maoni tofauti na ungependa kunishauri simu nyingine kali zaidi ya hii pia unakaribishwa. Madukan sasa wanauza 400k.

Ushauri wenu tafadhali ndugu
 
mkuu kwa 400 nunua hutapata simu yenye specs kama hizo kwa bei hio kwenye basi la android.

sema jua ni ndogo kuliko s3 yenyewe
 

mkuu s3 mini now wanauza tsh 400,000/= mpya? au basi kwa bongo ni rahisi sana kuliko sehemu nyingine.
 
Mm naona bora nikufahamishe ukanunue HTC desire. Kwa bei rahs kuliko sehemu nyengne. Ni MP ukiwa tayar
 
Mm naona bora nikufahamishe ukanunue HTC desire. Kwa bei rahs kuliko sehemu nyengne. Ni MP ukiwa tayar

ndio ninayoitumia desire s, sijutii hela yangu.

HTC wapo juu sana.!!
 
Mm naona bora nikufahamishe ukanunue HTC desire. Kwa bei rahs kuliko sehemu nyengne. Ni MP ukiwa tayar

are u serious?

s3 mini inatumia jelly bean desire ina eclair then ku upgrade mwisho froyo hata gingerbread hupat

s3 mini ina ram 1gb na processor 1ghz dual core wakati desire ni single core tena ram 512mb

mkuu kwa 2013 simu ya froyo haideserve hata kuuzwa laki 2 thats the truth
 
Mm naona bora nikufahamishe ukanunue HTC desire. Kwa bei rahs kuliko sehemu nyengne. Ni MP ukiwa tayar

am sorry s3 mini ipo juu sana na ina feature nying zinazokaribiana na s3. Direct call,pop up play,tilt to zoom,

jelly bean os 4.1 pre installed

1GB OF RAM
1GHZ OF procesor
4 inchz screen size

ina front camera na back camera(5 MP),SUPER AMOLED HD display etc etc
 

We ni mkaaaali
 

Chief tunaeza weka Custom ROM ya JellyBean kwenye Huawei Y200??....nimeweka custom ROM ya Gingebread that looks exactly like ICS
 
Chief tunaeza weka Custom ROM ya JellyBean kwenye Huawei Y200??....nimeweka custom ROM ya Gingebread that looks exactly like ICS

mkuu sidhani kama itakua ni jambo la busara kueka jelly bean kwenye simu yenye ram 256mb maana itakua very slow. minimum requrement ya jelly bean ni atleast simu iwe na ram 512mb.

jaribu kwenye hizo custom rom unaweza pata ambazo wamepunguza baadhi ya vitu ambavyo ni power hunger.
 

ila si naweza kupata ICS complete sio kama hii Gingerbread iliyokuwa customized kufanana na ICS.....
 
ila si naweza kupata ICS complete sio kama hii Gingerbread iliyokuwa customized kufanana na ICS.....

unaweza mkuu sema ndo uslow na lag vitakua vingi. bora baki na 2.3 maana nina simu hapa ya ics ina ram 512 lakini inastack vibaya mno
 
unaweza mkuu sema ndo uslow na lag vitakua vingi. bora baki na 2.3 maana nina simu hapa ya ics ina ram 512 lakini inastack vibaya mno

got u bro.....simu ipi hiyo yenye 512 hlf inastack
 
Kuna hii samsung galaxy s2 ila ni second hand(used)... Je huwa ina matatiz gani.. Na je mnanishauri ipi. Ninunue s3 mini mpya dukani au ninunue galaxy s2 used.
 
Kuna hii samsung galaxy s2 ila ni second hand(used)... Je huwa ina matatiz gani.. Na je mnanishauri ipi. Ninunue s3 mini mpya dukani au ninunue galaxy s2 used.

1. screen
galaxy s2 ina screen kubwa kuliko mini kama unapenda screen kubwa s2 ni yako kama unapenda ya kawaida mini ni yako. lakini tukija quality ya screen mini ni kubwa sababu screen zote zina resolution sawa

2. kwenda na wakati
mkuu mini ina jely bean wakati s2 ina gingerbread na unaweza ku update hadi ice cream sandwitch

3.upya na uzamani
mkuu mini ni mpya na s2 ni yazamani always mpya ina advantage

mi nakushauri go for mini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…