Dah kumbe tupo wengi..mimi ndo hii natumia nimeweka laini ya Tigo,sipati data flow nzuri huwa ina kwama hadi ni restart simu,ila kuna mshkaji nipo nae yeye anasimu kama yangu huwa anatumia voda na huwa haimsumbui kabisa,bado najiuliza tatizo ni simu ama ISP!