AK47 TRIGER
Member
- Feb 27, 2013
- 57
- 9
Thanks kwa ushauri wenu lakini bado sahivi hadi message haitumi
ishu ya network ni kwamba android huwez chagua utumie 3g tu ama edge tu (sijui kama kuna apps ya kusolve hilo), hili inafanya signal za 3g zikishuka simu kutumia edge ambayo ipo slow.
Hapa inabidi uende network ukasearch manual uchague 3g