Samsung Galaxy Note III inauzwa...

Samsung Galaxy Note III inauzwa...

Baba V

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
19,479
Reaction score
9,550
Wakuu nauza simu tajwa hapo juu. Kwa wanaoifahamu, bei ni 725,000/=
Haijatumka. Nitaweka picha baadae..
 
Wakuu nauza simu tajwa hapo juu. Kwa wanaoifahamu, bei ni 725,000/=
Haijatumka. Nitaweka picha baadae..
Unauza kitu ambacho bado hakijawa released.....! Au hiyo ni Note III gani unayoizungumzia?!
 
Unauza kitu ambacho bado hakijawa released.....! Au hiyo ni Note III gani unayoizungumzia?!

Ngoja nikipandisha picha utaiona mkuu... sijakuelewa unaposema haijawa released ...
 
http://www.engadget.com/2013/08/30/samsung-galaxy-note-3-sony-xperia-z1/
 
Wakuu nauza simu tajwa hapo juu. Kwa wanaoifahamu, bei ni 725,000/=
Haijatumka. Nitaweka picha baadae..

We jamaa ni mkaliiiiii mbaya, unauza kitu ambacho hakijaingia hata kwenye soko la dunia alafu laki 7.5 duh yaani hata s4 haiuzwi hivyo! Sema unauza mchiza fanya hata laki 4 watu wakupe hela
 
We jamaa ni mkaliiiiii mbaya, unauza kitu ambacho hakijaingia hata kwenye soko la dunia alafu laki 7.5 duh yaani hata s4 haiuzwi hivyo! Sema unauza mchiza fanya hata laki 4 watu wakupe hela

Hahahahaaa .... ntapandisha picha hapa utanambia ni model gani mkuu.. labda mie ndo nimechemka specifications.... salute..
 
Haifunguki link hii..

Nimeshindwa kuweka link vizuri mkuu. Jaribu ku google Galaxy note III uone wameandika nini. Ila ilikuwa wa release tarehe 4/9 wamesogeza mbele hadi tarehe 16/9 kama nitakuwa nimesoma vizuri hizo sources.
 
Hiyo useme note II lkn kwa note III hapana
 
Wakuu nauza simu tajwa hapo juu. Kwa wanaoifahamu, bei ni 725,000/=
Haijatumka. Nitaweka picha baadae..
Duh, umepata prototype nn, angalia wale jamaa wasikukamate maana hiyo model inategemewa kuzinduliwa kesho,,

note3uk.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom