SAMSUNG GALAXY NOTE 4 (brand new)

SAMSUNG GALAXY NOTE 4 (brand new)

Mkuu mbona hata Note 3 zipo madukani bado... and So far Note 3 ni brand bora sana ya Samsung..


Zipo mpaka Laki3 Note3 Lakini sio Samsung Original
Na ukipata hiyo Note3 Kwa wakala halali wa Samsung hutaipata kwa pesa mbili
 
WaTanzania kweli tunapenda kulalamika, simu hakuna alieziona akazikagua kama ni original au copy. Ila watu mna doubt kutokana na bei kua chini tu. Kama uliinunua laki 7 ni kipindi hicho, sasa hivi nenda kupatana nenda zoom nenda kariakoo zimeshuka bei. Ikiwa Samsung hawatoi tena haimaanishi zilizokua kwenye stock zinatupwa.
 
Mimi kazi yangu ni kuuza simu, mengine nawaachia wanahistoria.

Karibuni.
 
WaTanzania kweli tunapenda kulalamika, simu hakuna alieziona akazikagua kama ni original au copy. Ila watu mna doubt kutokana na bei kua chini tu. Kama uliinunua laki 7 ni kipindi hicho, sasa hivi nenda kupatana nenda zoom nenda kariakoo zimeshuka bei. Ikiwa Samsung hawatoi tena haimaanishi zilizokua kwenye stock zinatupwa.



Hata mwandiko wako unaonyesha jinsi Rohoni unavyojisuta!
 
Maduka mengine walichukua mzigo mwingi waje wauze kwa bei ya kutupa??
Simu ya laki nane auze kwa laki4 baada ya simu kuwa adimu sokoni?
Nahisi ni adimu kwa huyo mtu mmoja, ifikie sehemu tukubaliane kuwa bei ya kitu chochote siku kinapotoka huwa iko juu lakini siku zinavoenda zinashuka kutokana na bidhaa zinazoendana na hiyo kuingia sokoni na kikubwa ni ushindani wa makampuni.

Bei kupungua ni lazima.
Saa ivi samsung wametoa simu zenye fingerscaner unaweza kuiloki kwa kutumia sensation ya damu kupitia ngozi, kama vile A3,A5,etc NOTE 5, na zingine kama wanavyofanya apple. Hivyo basi kwa kuongeza hiyo sifa hakuna mtu wa kutafuta tena NOTE 3 kwa 800K wakati 600K/700K anapata product yenye sifa zaidi ya hiyo kwa mantiki za kiteknolojia na ushindani wa biashara lazima ishuke bei kwa hiyo usishangae ikiwa ivyo.

Na huyo anaeuza hiyo bei unayoishangaa anaweza kuwa anataka kuufuta huo mzigo dukani ili awe na latest version .
 
Hivi hizi simu note 4 mbona matoleo yake yashaisha madukani wewe unazipatia wapi? Mana kiwandani hawaproduce tena. Tena nilikua nauliza note 5 nikaambiwa hazitoki tena hata madukani hamna
Mfano mzuri ni fedha, Tanzania ikisema tutatoa elfu kumi ya coin haimaanishi uliyonayo mfukoni haifai/ukatupe....maana yake B.O.T haitazitoa ila zilizoko mtaani zitaendelea kutumika hadi ziishe inamaana zikienda bank hazirudi kwa mtumiaji.

Sambamba na simu ambazo ziko madukani zitaendelea kuuzwa hadi ziishe lakini kampuni haitazitoa tena na haimaanishi madukani zitaisha kwa siku moja.
 
Mfano mzuri ni fedha, Tanzania ikisema tutatoa elfu kumi ya coin haimaanishi uliyonayo mfukoni haifai/ukatupe....maana yake B.O.T haitazitoa ila zilizoko mtaani zitaendelea kutumika hadi ziishe inamaana zikienda bank hazirudi kwa mtumiaji.

Sambamba na simu ambazo ziko madukani zitaendelea kuuzwa hadi ziishe lakini kampuni haitazitoa tena na haimaanishi madukani zitaisha kwa siku moja.
Mkuu fedha zinaondolewa kwenye mzunguko. Ona sasa hivi 500 ya noti haionekani. Vivyo hivyo hata simu huwa zinarudi kiwandani mana matoleo mapya yanakuwa yashatoka
 
Nahisi ni adimu kwa huyo mtu mmoja, ifikie sehemu tukubaliane kuwa bei ya kitu chochote siku kinapotoka huwa iko juu lakini siku zinavoenda zinashuka kutokana na bidhaa zinazoendana na hiyo kuingia sokoni na kikubwa ni ushindani wa makampuni.

Bei kupungua ni lazima.
Saa ivi samsung wametoa simu zenye fingerscaner unaweza kuiloki kwa kutumia sensation ya damu kupitia ngozi, kama vile A3,A5,etc NOTE 5, na zingine kama wanavyofanya apple. Hivyo basi kwa kuongeza hiyo sifa hakuna mtu wa kutafuta tena NOTE 3 kwa 800K wakati 600K/700K anapata product yenye sifa zaidi ya hiyo kwa mantiki za kiteknolojia na ushindani wa biashara lazima ishuke bei kwa hiyo usishangae ikiwa ivyo.

Na huyo anaeuza hiyo bei unayoishangaa anaweza kuwa anataka kuufuta huo mzigo dukani ili awe na latest version .



Siongei kwa kubahatisha wala kwa mazoea ndugu..
Tunaongelea simu na si maandazi ya kilala yanapungua ubora!
Kila kampuni ina utaratibu wake!
Ninyi ndio wapewa waranty za maandishi vimeo vikiwabumia mnakuja kututia lawama madukani.
 
Atakua yuko katavi huyo
Mkuu ninaishi nje ya bongo huu mwaka wangu wa 10, lakini bongo narudi kila wakati. Hiyo pekee ni elimu tosha kwamba simu ninazijua. Kwanza huku hatununua simu kwa cash, unaweza lipa hadi mwaka mzima. Tatizo simu nyingi za bongo ni fake
 
Kwani NOTE 3 zina tatizo? Au hujanielewa nilichojaribu kueleza.?
Zinazorudi sio zenye shida, ni zile ambazo zimekaa muda mrefu sokoni na matoleo mapya yametoka. Hivyo wanapisha simu mpya ziuzwe mkuu. Hiyo inakuwa ni outdated ndio mana zinarudi. Nenda kwa wakala wa Samsung kaulize labda ulikuwa huna hii information. Ila kama ni fake utairejesha kwa nani?????
 
Siongei kwa kubahatisha wala kwa mazoea ndugu..
Tunaongelea simu na si maandazi ya kilala yanapungua ubora!
Kila kampuni ina utaratibu wake!
Ninyi ndio wapewa waranty za maandishi vimeo vikiwabumia mnakuja kututia lawama madukani.
Nahisi ukijikita kwenye uhalisia wa mada itapendeza lakini ili la kuniunganisha kwenye watu ambao wananunua vitu bila dhamana hii itapelekea tuende pm tuoneshane hizo dhamana ulizonazo wewe ili kuonesha umakini baina yangu na wewe kitu ambacho sio kusudio la mada.

Naomba tuishie hapa kile ninachokijua maana huu ukinzani si mzuri.
 
Mkuu fedha zinaondolewa kwenye mzunguko. Ona sasa hivi 500 ya noti haionekani. Vivyo hivyo hata simu huwa zinarudi kiwandani mana matoleo mapya yanakuwa yashatoka
Acha ubishi mkuu, izo pesa bado zipo hazijaisha kwenye mzunguko kama unavodai.

Na hizo noti za 500 haziishi kwa siku moja katika mzunguko baada ya tamko la serkali, hivyo hivyo na hizo product za simu haziwezi kuisha madukani siku moja baada ya kuacha uzalishaji. Point yangu iko hapo kama umeamua kunielewa utanielewa.
 
Zinazorudi sio zenye shida, ni zile ambazo zimekaa muda mrefu sokoni na matoleo mapya yametoka. Hivyo wanapisha simu mpya ziuzwe mkuu. Hiyo inakuwa ni outdated ndio mana zinarudi. Nenda kwa wakala wa Samsung kaulize labda ulikuwa huna hii information. Ila kama ni fake utairejesha kwa nani?????
Unaweza kunitajia outdated version zilizorudi na update version zilizotumika ku-replace hizo outdated version ambazo saa ivi haziko sokoni?
 
Nahisi ukijikita kwenye uhalisia wa mada itapendeza lakini ili la kuniunganisha kwenye watu ambao wananunua vitu bila dhamana hii itapelekea tuende pm tuoneshane hizo dhamana ulizonazo wewe ili kuonesha umakini baina yangu na wewe kitu ambacho sio kusudio la mada.

Naomba tuishie hapa kile ninachokijua maana huu ukinzani si mzuri.




Sina Kipaji cha ualimu wala ubishani
Wewe endelea kupigwa tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom