mkalenda
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 290
- 23
Habar wakuu,
naombeni msaada, nilikua na update software kwa kutumia internet ya wireless, then baada ya kumaliza nikawa naistall baada ya hapo ikajiereboot then ikawa inawaka then inazima haimalizi kuwaka. Nilijalibu kuingiza kwenye recovery mode but inagoma inaniingiza kwenye downloading mode. Nikajalibu kuinstall new firmware kwa kutumia odini ikashindikana na kies pia ikagoma,
naomba msaada wenu tafadhar
naombeni msaada, nilikua na update software kwa kutumia internet ya wireless, then baada ya kumaliza nikawa naistall baada ya hapo ikajiereboot then ikawa inawaka then inazima haimalizi kuwaka. Nilijalibu kuingiza kwenye recovery mode but inagoma inaniingiza kwenye downloading mode. Nikajalibu kuinstall new firmware kwa kutumia odini ikashindikana na kies pia ikagoma,
naomba msaada wenu tafadhar