Arabian Eagle
Member
- Oct 1, 2018
- 71
- 46
Habari zenu wakuu
Simu yangu sielewi ina tatizo la betri ama laa. Nikicharge ikifika 100% nikichomoa inakuja 99% au saa zingine 95%
Na si chini ya watu wa3 mpaka wa4 nimewasikia wanalalamikia swala hili.
Kama yupo anaeelewa kusolve tatizo hili basi naomba msaada.
Simu yangu sielewi ina tatizo la betri ama laa. Nikicharge ikifika 100% nikichomoa inakuja 99% au saa zingine 95%
Na si chini ya watu wa3 mpaka wa4 nimewasikia wanalalamikia swala hili.
Kama yupo anaeelewa kusolve tatizo hili basi naomba msaada.