iokote
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 601
- 875
Nimenunua samsung galaxy s7 ila ussd inayosoma ni ya kuangalia salio la kawaida tu la *102#.
Zingine kama money transaction, menu ya vifurushi zote zinagoma. Naomba msaada nini nifanye au app gani nitumie kuweza kutatua hili tatizo.
Cc Chief-Mkwawa, troublemaker etal.
Zingine kama money transaction, menu ya vifurushi zote zinagoma. Naomba msaada nini nifanye au app gani nitumie kuweza kutatua hili tatizo.
Cc Chief-Mkwawa, troublemaker etal.