sio kuflash mkuu, kuto hio network lock, kuna namna nyingi za kutoa na mabox yanakuwa na advantage zaidi.Anhaa Hapo unamaanisha kuflash sioo maana inasoma tyu E kwahio akiflash inaeza kusoma ata H+ au LTE au
inategemea na simu na simu mkuu, ila mara nyingi zinahitaji hela na unakuwa ni udalali kwa kuyalipa makampuni ya nje.Naomba Nielekeze Namna ya Kutoa Network lock tofauti na ya Box!
naweza pata code kama hizi za huawei maan na yenyew inasoma E tu 3G ukiweka mtandao unakata*#2263#
au
*#0011#
hizo service menu nyengine zinakuwa na.uwezo wa kubadili band
inategemea na simu mkuu, si kila tatizo linatatuliwa hivyo, ni model gani? tujue bands zake kama zinakubali tanzania na tujue kama ina lock ya mtandao wa simu.naweza pata code kama hizi za huawei maan na yenyew inasoma E tu 3G ukiweka mtandao unakata
Ngoja sister atoke job niangalie model yakeinategemea na simu mkuu, si kila tatizo linatatuliwa hivyo, ni model gani? tujue bands zake kama zinakubali tanzania na tujue kama ina lock ya mtandao wa simu.



Yangu nafikiri ina Lock ya WCDMA/LTE maana naona ndo kitu Metropcs wananiambiainategemea na simu mkuu, si kila tatizo linatatuliwa hivyo, ni model gani? tujue bands zake kama zinakubali tanzania na tujue kama ina lock ya mtandao wa simu.