Samsung galaxy core prime!

Samsung galaxy core prime!

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,315
Reaction score
8,747
wadau nina samsung yangu ambayo imekuja na kimtandao cha huko mbele kinaitwa Metropcs sasa hii simu inaspot data ya wcdma/LTE but inafanya kazi kwenye gsm tu..na nikiswitch data to lte or wcdma netwek yenyewe inapotea...Japo mm ni mtundu sana katika technolojia ila suala limenishinda na nimeamu kulileta hapa mezani Naomba tusaidiane wanasayansi wenzangu!
 
metro pc = T-Mobile, wantumia band zao pekee dunia nzima kama 1700mhz kwenye 3G na 700mhz kwenye 4G.

hapo labda ujaribu bahati yako kwenye service mode au software ya qualcomm kama utaweza ku enable hidden bands,

ni model gani? nenda setting then about kuijua model yake.
 
metro pc = T-Mobile, wantumia band zao pekee dunia nzima kama 1700mhz kwenye 3G na 700mhz kwenye 4G.

hapo labda ujaribu bahati yako kwenye service mode au software ya qualcomm kama utaweza ku enable hidden bands,

ni model gani? nenda setting then about kuijua model yake.
SM-G360T1
 
*#2263#

au

*#0011#

hizo service menu nyengine zinakuwa na.uwezo wa kubadili band
798e1397a527c9c0dccd62cd0ee086ad.jpg
4589c4910be9775bc6aa2a74b348ba82.jpg
 
*#2263#

au

*#0011#

hizo service menu nyengine zinakuwa na.uwezo wa kubadili band
Ila kiukweli ww jamaa unajua kuliko ata google maana nimegoogle nikakosa ila jamaa unajuaa
 
metro pc = T-Mobile, wantumia band zao pekee dunia nzima kama 1700mhz kwenye 3G na 700mhz kwenye 4G.

hapo labda ujaribu bahati yako kwenye service mode au software ya qualcomm kama utaweza ku enable hidden bands,

ni model gani? nenda setting then about kuijua model yake.
Habari ya Chief... Sorry nilikuwa naomba msaada wako me natumia Samsung S4 T-mobile ila nashangaa kuna line nashindwa tumia kabsa kama ukiweka airtel inaandika insert simcard, nikiweka voda inakubal tatzo kwenye mtandao haikubal kwangu inakubal halotel na tigo tu bac nini tatzo naomba nsaidie kwann inachagua lain na soln yake bro
 
hapo GSM ndio 2G, wcdma ndio 3G, na LTE ndio 4G.

sababu 2G inafanya kazi gsm achana nayo.

anza na WCDMA, tigo voda, airtel, halotel na wengine wote kasoro smart wanatumia band 2100 hivyo ukiclick kwenye wcdma band na kuikuta hio 2100 hakikisha unatick (kialama cha nyota) ili itumike.

kwenye LTE yaani 4G tick 800 na 1800 kama zipo kama wameandika kinamba 800 ni sawa na 20 na 1800 ni sawa na 9 kama sijakosea.
 
Habari ya Chief... Sorry nilikuwa naomba msaada wako me natumia Samsung S4 T-mobile ila nashangaa kuna line nashindwa tumia kabsa kama ukiweka airtel inaandika insert simcard, nikiweka voda inakubal tatzo kwenye mtandao haikubal kwangu inakubal halotel na tigo tu bac nini tatzo naomba nsaidie kwann inachagua lain na soln yake bro
hapo sababu pengine imefungiwa na hio mitandao (blacklist),

au pia inaweza ikawa ni network lock au band fulani hazifanyi kazi,

inakamata 3G na 4G?
 
Daaah mkubwa unajua sana daah hongera kaka kwa kushare maarifa,

Mimi nina note4 ya at&t daah yani ishanizngua mpaka basi yani inakubali line ya halotel peke ake na yenyewe ni internwt tu, Ttcl ndo inasoma fresh , Voda mpaka nikiwa dar tu ,Airtel haisom kabisa mpaka nahc inakubali line zs 4g tu daah masmart phone haya
 
Daaah mkubwa unajua sana daah hongera kaka kwa kushare maarifa,

Mimi nina note4 ya at&t daah yani ishanizngua mpaka basi yani inakubali line ya halotel peke ake na yenyewe ni internwt tu, Ttcl ndo inasoma fresh , Voda mpaka nikiwa dar tu ,Airtel haisom kabisa mpaka nahc inakubali line zs 4g tu daah masmart phone haya
yap voda na TTCL wanatumia band moja, ili ku confirm zaidi ukiwa mjini eka tigo pia wana 4G band moja na Voda na TTCL.

pengine ina network lock jaribu kuwaona wanaotoa hizo lock wanaweza kukutolea.
 
hapo GSM ndio 2G, wcdma ndio 3G, na LTE ndio 4G.

sababu 2G inafanya kazi gsm achana nayo.

anza na WCDMA, tigo voda, airtel, halotel na wengine wote kasoro smart wanatumia band 2100 hivyo ukiclick kwenye wcdma band na kuikuta hio 2100 hakikisha unatick (kialama cha nyota) ili itumike.

kwenye LTE yaani 4G tick 800 na 1800 kama zipo kama wameandika kinamba 800 ni sawa na 20 na 1800 ni sawa na 9 kama sijakosea.
ahsantee sana kaka mkwawa sasa simu nyangu tatizo ni kwamba nikiweka kwenye hizo band za cwdma/LTE network inakata yaani inakuwa no service nashindwa kulelewa kaka na pia unaelewa nn kuhusu metropcs kublock network?
 
ahsantee sana kaka mkwawa sasa simu nyangu tatizo ni kwamba nikiweka kwenye hizo band za cwdma/LTE network inakata yaani inakuwa no service nashindwa kulelewa kaka na pia unaelewa nn kuhusu metropcs kublock network?
kama njia za kawaida haziweEkani step inayofuata ni kuwaona wataalamu wanaotoa network lock. hasa wale wanaotumia box.

kublock network si kuifungia itumie na mtandao wao tu badala ya mtandao mwengine?.
 
kama njia za kawaida haziweEkani step inayofuata ni kuwaona wataalamu wanaotoa network lock. hasa wale wanaotumia box.

kublock network si kuifungia itumie na mtandao wao tu badala ya mtandao mwengine?.
Anhaa Hapo unamaanisha kuflash sioo maana inasoma tyu E kwahio akiflash inaeza kusoma ata H+ au LTE au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom