Samsung galax note 2

Samsung galax note 2

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Wanajamvi naomba kwa anaefahamu bei ya cm hiyo Samsung galax note 2,ninahitaji wakuu
 
1 mil, chini kabisa mpaka laki 9. Ni Posta lakini.
 
Wanajamvi naomba kwa anaefahamu bei ya cm hiyo Samsung galax note 2,ninahitaji wakuu

Nikuletee kutoka Dubai kwa 450,000/ ni 1:1 copy mkuu nimemletea boss wangu na nimembamiza laki saba bila ganzi !!
 
Kumbee...!!!? utan'tambua kazini leo.

hahaha, huyu ni mwanajamvi wa JF lazima afaidi matunda ya wanaukumbi huu; but believe me hii simu ni high quality copy na kwa macho ya mtumiaji wa kawaida hataweza kutofautisha na hiyo inayosemwa original except hii ya bongo ya 1m ina warrant ya Dubai haina
 
Used inategemea kama imepiga simu 1000 kuchat Mara 3000 na kuchajiwa Mara 300 bei yake ni 800,0000.
 
Unajua nini....kuwa nazo pesa utajua tu nini moyo unataka. Hana ndio maana anasema hivyo, ila sometimes sio lazima uwe nazo ndio ununue kuna wakati we kaza roho furahisha moyo
 
Back
Top Bottom