Samsung 6 edge inauzwa

Samsung 6 edge inauzwa

biasharaTz

Senior Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
163
Reaction score
79
Habari wakuu
Simu aina ya Samsung 6 edge inauzwa.
Ina crake kwenye kioo lakini nyembamba sana sana haionekani kwa urahisi. Bei ni 450,000/= maelewano yapo. Rangi ya gold, imetumika miezi 3. Bado ina hali nzuri sana
Simu inapatikana Dar es Salaam.
Kwa picha na maelezo zaidi call|whatsapp no 0755411455
IMG20180503171138.jpg
IMG20180503171130.jpg
IMG20180503171305.jpg
 
Hizo simu na display,sawa na ukimwi mwananyamala hospital
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom