PAYE
JF-Expert Member
- Jun 19, 2025
- 354
- 395
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Samia Suluhu kwenye kilele cha kampeni za CCM, Mwanza leo Oktoba 28, 2025 amesema; "Nimekutana na makundi ya waangalizi wa uchaguzi waliokuja kuangalia tunavyofanya na yanayotokea katika uchaguzi wetu. Jambo waliloliona kubwa zaidi ya yote ni kuwa nchi inakwenda kwenye uchaguzi bila kuonekana dalili zozote za vuguvugu la uvunjifu wa amani, wameshangaa sana na wametupongeza sana Tanzania."