GE2025 Samia: Tutajenga tawi la (JKCI) hapa Geita ili mpate matibabu ya moyo

GE2025 Samia: Tutajenga tawi la (JKCI) hapa Geita ili mpate matibabu ya moyo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea urais kupitia chama C ha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan ameahidi ujenzi wa tawi kama la Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete JKIC mkoani Geita ili kuhakiksha watu wa Geita wanapata matatibu ya moyo bila kutoka nje ya mkoa huo.

Rais Samia ameyasema hayo leo Oktoba 13, 2025 katika mwendelezo wa kampeni za hicho mkoani Geita.
 
Back
Top Bottom