PostGE2025 Samia sasa anataka kusingizia dini kwenye machafuko. Tatizo ni wewe Mama!

PostGE2025 Samia sasa anataka kusingizia dini kwenye machafuko. Tatizo ni wewe Mama!

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Anajipanga kuliingiza Taifa kwenye aina zote za machafuko kama ya mauaji, utekaji, utesaji, kupoteza watu, ubakaji, ufiraji.

Aina zote za utengano na migogoro ya kichama kidini, kikanda, Visiwani, bara, ukabila ili abaki madarakani.
 
tushike lipi matak.o yake?. wageni toka nchi jirani, chadema au TEC?
 
Naiona Tanzania kugawika pande mbili upande wa Mashariki na Magharibi
 
Watanzania wa Leo sio wale wakale.
Hatuwezi kugawanyika Kwa misingi ya dini Sisi mchawi wetu ni CCM wala sio bakwata
 
Back
Top Bottom