GE2025 Samia: Nilikerwa kuona makundi ya watu wanasubiri usafiri usiku

GE2025 Samia: Nilikerwa kuona makundi ya watu wanasubiri usafiri usiku

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu amesema alikasirishwa kuona makundi ya watu wakisubiri usafiri usiku kwenye vituo vya daladala, ambapo ameeleza kuwa changamoto hiyo itamalizwa karibuni.

 
Mtu asiye na akili hawezi kutawala wenye akili. Hilo haliwezekani kamwe. Kama mnadhani hana akili ujue wanaotawaliwa ni less than yeye.
Nakubaliana na wewe kuwa mtawala anaakisi tabia na uwezo wa mtawaliwa.

Ila huenda tungejipima kwa Magu, sio huyu. Huyu ni "less than average."
 
Nakubaliana na wewe kuwa mtawala anaakisi tabia na uwezo wa mtawaliwa.

Ila huenda tungejipima kwa Magu, sio huyu. Huyu ni "less than average."
Sasa aliwezaje kuwa makamu

Yaani useme tunavuna Miiba wakati tulipanda zabibu.! Sio kweli

Ukiona nyoka ndani tambua Kuna sehemu ilikuwa au ipo wazi usilalamike kwamba kaingiaje huyu.! Utapoteza mda
 
Ni mwendo wa kucopy na kupste.... ... Adi akili zizoee
 
Mimi sijaangalia hiyo video nimeshuka tu kusoma comment maana doctor ameniambia nijitahidi pressure yangu isipande
 
Back
Top Bottom