Its Tesha
Senior Member
- Oct 6, 2025
- 168
- 604
Mgombea Urais Samia Suluhu Hassan, Mgombea wa Urais wa Tanzania, akizungumza Maganzo, Kishapu Mkoani Shinyanga leo Jumamosi Oktoba 11, 2025 alisema:
"Ilani niliyomkabidhi Mgombea Ubunge ni ya Kitaifa na ya Mkoa na Madiwani pia nimewapa Ilani ndogo za Mkoa wa Shinyanga. Ombi langu msiende kuwachanganya, mkienda mkawawekea Madiwani hawa watu wa Vyama vingine maendeleo yatachelewa.
Watakuwa wanabishana kwenye vikao, wale wenzetu wanasema sio, hawa wanasema maelekezo ya serikali ni haya. Ombi langu tarehe 29 kachagueni Mgombea Urais wa tiketi ya CCM, kachagueni Mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi lakini pia Madiwani wote wa Kata zenu kwa Chama Cha Mapinduzi. Mkifanya hivyo tutakwenda kwa kasi ile ile ya kipindi cha kwanza cha awamu ya sita."
Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Ilani niliyomkabidhi Mgombea Ubunge ni ya Kitaifa na ya Mkoa na Madiwani pia nimewapa Ilani ndogo za Mkoa wa Shinyanga. Ombi langu msiende kuwachanganya, mkienda mkawawekea Madiwani hawa watu wa Vyama vingine maendeleo yatachelewa.
Watakuwa wanabishana kwenye vikao, wale wenzetu wanasema sio, hawa wanasema maelekezo ya serikali ni haya. Ombi langu tarehe 29 kachagueni Mgombea Urais wa tiketi ya CCM, kachagueni Mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi lakini pia Madiwani wote wa Kata zenu kwa Chama Cha Mapinduzi. Mkifanya hivyo tutakwenda kwa kasi ile ile ya kipindi cha kwanza cha awamu ya sita."
Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025