Do Reforms
Member
- Jun 9, 2012
- 6
- 3
Waliofuatwa Majumbani mwao je? Huwezi halalisha uovu kwa uovu..no ndugu maandamano sio mabaya kabisa , israel waliandamana watu laki 6 kudai miili ya ndugu zao hawakuvunja hata glass , sisi kila sehemu ilikuwa moto ushenzi kabisa, vituo vya polisi mwendo kasi TRA, Mabasi malori mabaa ya watu binafsi wizi mtu ujambazi ushenzi , uharamia , ukibaka mtupu
Pengine hata wewe yangeweza kukukuta.. Ongea kama haikuhusu.. lakini ipo siku utagundua hukua sahihi.