Yaani nimesikitika mno mno kusikia leo umewasamehe wale majambazi walioshikwa eti walifuata mkumbo?
KWELI? mbona hawakwenda kuchoma jeshini kama ilikuwa ni ufuata mkumbo?
SAMIA SAMIA SAMIA mara nyingi umepoteza mvuto kwa kujifanya mwema kwa unafki, naanza kukumbusha kuanzia ulivyoanza kupatana na wapinzani, kuwarudisha mafisadi karibu na kuanza kurudisha wenye vyeti hewa kazini yale yalikuwa makosa makubwa sana na umeonekaa dhaifu
Hakuna atakayerudia kuna watakaoumia kimakosa na kuna wataoumia kwa haki , a kulaumiwa ni walioanzisha wizi n ujambazi sio mtoa hukumu
UMETUKOSEA SANA WAPENDA HAKI TUTAANZA KUJICHUKULIA HATUA MKONONI KUANZIA SASA
KWELI? mbona hawakwenda kuchoma jeshini kama ilikuwa ni ufuata mkumbo?
SAMIA SAMIA SAMIA mara nyingi umepoteza mvuto kwa kujifanya mwema kwa unafki, naanza kukumbusha kuanzia ulivyoanza kupatana na wapinzani, kuwarudisha mafisadi karibu na kuanza kurudisha wenye vyeti hewa kazini yale yalikuwa makosa makubwa sana na umeonekaa dhaifu
Hakuna atakayerudia kuna watakaoumia kimakosa na kuna wataoumia kwa haki , a kulaumiwa ni walioanzisha wizi n ujambazi sio mtoa hukumu
UMETUKOSEA SANA WAPENDA HAKI TUTAANZA KUJICHUKULIA HATUA MKONONI KUANZIA SASA