GE2025 Samia kujenga uwanja wa Ndege wa Kimataifa Pemba

GE2025 Samia kujenga uwanja wa Ndege wa Kimataifa Pemba

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,469
Reaction score
14,772
Mgombea wa Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa akipata ridhaa ya kupewa Miaka Mitano zaidi atahakikisha anajenga uwanja wa Ndege wa Kimataifa katika visiwa vya Pemba ili kufungua zaidi kisiwa hicho kiuchumi na kuongeza watalii ambapo uwanja huo utaruhusu ndege kubwa kabisa kutua katika uwanja huo kutoka mataifa mbalimbali Duniani.


 
Aisee yani watanganyika kama tarehe 29 tukiendelea kumpa huyu bi kidude nchi hipo siku tutachinjana wenyewe kwa kulaumiana
 
Kama ilivyo kawaida! Hela za Watanganyika zinaenda kutapanywa.
 
Back
Top Bottom