Futa upuuzi wako hapa unajaza bure server ya watu na matakataka yako, wenzako wanatumia gharama kubwa kulipia cloud server wewe unajaza matakataka yako hapa
Futa upuuzi wako hapa unajaza bure server ya watu na matakataka yako, wenzako wanatumia gharama kubwa kulipia cloud server wewe unajaza matakataka yako hapa
uwe na uwezo wa kuyaona na kuyasikia usioyapenda pia hio ndo demokrasia lasivyo wewe ni dikteta uchwara ambae angekua na.bunduki ungetisha zaidi ya Sa100 na genge lake.
uwe na uwezo wa kuyaona na kuyasikia usioyapenda pia hio ndo demokrasia lasivyo wewe ni dikteta uchwara ambae angekua na.bunduki ungetisha zaidi ya Sa100 na genge lake.
Kwan kila taarifa inayoripotiwa inakuhusu? Uliombwa kuifungua kama sio kiherehere chako? Mda mwingne ni hekima kukaa kimya sio kila kitu ucomment unaonekana kichaa
Kwan kila taarifa inayoripotiwa inakuhusu? Uliombwa kuifungua kama sio kiherehere chako? Mda mwingne ni hekima kukaa kimya sio kila kitu ucomment unaonekana kichaa
Hivi kutoa habari ya kweli ya kujenga maendeleo ya nchi yako kisiasa na kiuchumi itayoweza kupinga uongozi wa serekali ya samia hio itakuwa Habari ya kizalendo itayopokelewa na Serekali nzima hadi Alieandika apate Hizo Awards?? ni Awards Kwa waandishi wanaosifia serekali bila kuiponda ndio wataopokea Awards?... Real Revolutions are NEVER televised
Nchi imejaa ujinga tu. .. Ndio tabu wakuongozwa nawanamke mentality zao zinawaza vitafrijatafrija vyakusifiwa. Afu dume kama majaliwa na WASSIRA yanashangilia.