Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 4,252
- 9,305
Bei yake sasa utashangaa mwalimu hawezi afford hata akipewa kiinua mgongo.π‘ SAMIA HOUSING SCHEME: NDOTO INATIMIA! π
Kawe, Dar es Salaam inazidi kung'aa! π₯ Samia Housing Scheme, mradi wa makazi wa kisasa unaoleta mapinduzi ya ujenzi, sasa umefikia hatua kubwa β Uzio umekamilika, vyuma vya balcony vimesimikwa, na ujenzi umefikia asilimia 89! πποΈ
π Nyumba 560 za kisasa zinakaribia kukamilika, ikiwa ni sehemu ya ndoto ya nyumba 5,000 kwa awamu! Hii si tu makazi, ni mustakabali mpya wa jiji letu, ukihamasishwa na dhamira ya maendeleo ya kweli.
π Tunachofanya sasa?
πΉ Kuweka madirisha & milango πͺ
πΉ Kufunga tiles za kisasa β¨
πΉ Kuweka mfumo wa umeme wa ndani β‘
π° Bajeti ya Mradi: TZS Bilioni 466!
π Mandhari: Karibu na bahari, yenye ustadi wa hali ya juu wa upangaji!
Samia Housing Scheme ni zaidi ya nyumba β ni maisha mapya, ni ubora, ni Tanzania Mpya! π‘β¨
π Tunakukaribisha kushuhudia historia ya ujenzi wa kisasa!
#SamiaHousingScheme #UjenziBora #NyumbaZaKisasa #NHCProjects #DreamHomes #TanzaniaYetu
2 bedroom for sale at Samia housing scheme
TZS 147,000,000 π«‘π«‘π«‘ Million 147!??
Kutoka kikokotoo cha NHCEeehh bei ya wapi hii? Tanzania hii au
2 bedroom apartment? Au unazungumzia gorofa lote?2 bedroom for sale at Samia housing scheme
TZS 147,000,000 π«‘π«‘π«‘ Million 147!??
Kwani ni pesa zake, hizo, apartments hazifiki hata 50K, makelele, meengi, zipo TBA, NHC, sasa, ma scheme mengine ya nini? Wizi tu,π‘ SAMIA HOUSING SCHEME: NDOTO INATIMIA! π
Kawe, Dar es Salaam inazidi kung'aa! π₯ Samia Housing Scheme, mradi wa makazi wa kisasa unaoleta mapinduzi ya ujenzi, sasa umefikia hatua kubwa β Uzio umekamilika, vyuma vya balcony vimesimikwa, na ujenzi umefikia asilimia 89! πποΈ
π Nyumba 560 za kisasa zinakaribia kukamilika, ikiwa ni sehemu ya ndoto ya nyumba 5,000 kwa awamu! Hii si tu makazi, ni mustakabali mpya wa jiji letu, ukihamasishwa na dhamira ya maendeleo ya kweli.
π Tunachofanya sasa?
πΉ Kuweka madirisha & milango πͺ
πΉ Kufunga tiles za kisasa β¨
πΉ Kuweka mfumo wa umeme wa ndani β‘
π° Bajeti ya Mradi: TZS Bilioni 466!
π Mandhari: Karibu na bahari, yenye ustadi wa hali ya juu wa upangaji!
Samia Housing Scheme ni zaidi ya nyumba β ni maisha mapya, ni ubora, ni Tanzania Mpya! π‘β¨
π Tunakukaribisha kushuhudia historia ya ujenzi wa kisasa!
#SamiaHousingScheme #UjenziBora #NyumbaZaKisasa #NHCProjects #DreamHomes #TanzaniaYetu
2 bedroom apartments mkuu2 bedroom apartment? Au unazungumzia gorofa lote?