Samehe yaliyopita

Asanteni sana watu wangubwa nguvu..! MUNGU awabariki na kuwaongezea pale mlipopungukiwa..!
Pata ushauri zaidi kwa kupitia account yangu ya Face book kwa jina.

PRINCE NAAHJUM ALSINA
 
We jamaa uko vizuri!
Umenigusa sana ila ubarikiwe sana!
 
Kwa comments za mada hii, inahashiria watu wengi ni wahanga katika suala la Mapenzi.

Maana mada hii imebeba maneno ya faraja kwa wenye makovu, pamoja nawale ambao bado wana majeraha kwenye mioyo yao hasa yaliyotoka na kupenda mahali pasipo sahihi.

Binafsi nimefarijika hasa baada ya kuona comments nyingi za ASANTE, UBARIKIWE, AMEEN. Huwa nadhani limoyo langu ndio linakiranga cha kupenda hovyo NA kuumia pindi lisalitiwapo.

POLENI KWA MAUMIVU:
- Evenly salt
- me too
- fredy Paul
-Tauras6

PIA PONGEZI KWA @ Mtoto wa Malaya kwa moyo wa chuma.
 
AMEEN UBARIKIWE
 
Amen!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…