Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,188
- 8,214
Nakubali Mbwana Samata ni kijana wetu na ni mchezaji mzuri sehemu zote alikopita tuko nae bega kwa bega kumoa support na hata wazungu walipojaribu kumsema vibaya tulikiwa tayari kuingia vitani kwa ajili yake.
Habari ya kusikitisha ni kwamba mapenzi waliyoonyesha Watanzania kwake ameshindwa kuyalipa amekuwa mchezaji wa hovyo linapokuja suala la timu ya taifa haonyeshi juhudi yoyote kama hataki ni bora astaafu tu kuchezea starz mimi ni gekuwa kocha wa staz nisingemuita tena.
Habari ya kusikitisha ni kwamba mapenzi waliyoonyesha Watanzania kwake ameshindwa kuyalipa amekuwa mchezaji wa hovyo linapokuja suala la timu ya taifa haonyeshi juhudi yoyote kama hataki ni bora astaafu tu kuchezea starz mimi ni gekuwa kocha wa staz nisingemuita tena.