Duh,wabongo kwa kupenda kufanana mawazo hamjambo,haya namtakia kila la kheir huko aendako,ila kwangu mimi,champions league,europa,azisikie kwenye bomba kwani hayo kwangu mimi ni mafanikio zaidi ya kwenda kwenye timu ambayo kwenda huko ni ndoto ya alinacha
Kweli awamu ya tano ni awamu ya mafanikio. Hongera sana mh JPM. Kwani kwa awamu zote nne MTZ hakuwahi kucheza ligi ya EPLHongera. Kapige kazi. £10M si mchezo!
===
View attachment 1325132
Mbwana Samatta has scored 43 league goals in 98 appearances for Genk in Belgium's top flight.
Aston Villa are hoping to complete a £10m deal for Genk striker Mbwana Samatta as manager Dean Smith moves to strengthen his attacking options.
Smith needs to bolster this area after losing Brazilian forward Wesley for the rest of the season with a knee injury sustained at Burnley on New Year's Day.
Samatta, who scored against Liverpool in this season's Champion League group stage, has emerged as a Villa target.
But the fine details of the transfer are yet to be agreed.
The 27-year-old Tanzania international requires a work permit so he will not be available in time for Villa's visit to Brighton on Saturday.
Villa are willing to part with Ivory Coast striker Jonathan Kodija and have had interest from Championship side Nottingham Forest and Ligue 1 club Amiens.
Smith's side are 18th in the Premier League after 22 matches.
Source: BBC Sports
Sent using Jamii Forums mobile app
EXCLUSIVE :
Mbwana Samatta to Aston Villa Deal Done. Kesho asubuhi saa 1 anapanda ndege kutoka Dusseldorf kwenda Birmingham kwa ajili ya medical check up. Transfer fee ni takribani £9M
Unajaribu kusema nini mkuu
Unajua hao Genk wako na hali gani msimu huu ku quality ucl?
Kwamba epl zinazofeli kwenda ucl na europa sio bora kuliko vitimu vya baadhi ya ligi vinavyo quality kucheza ucl na europa kila mwaka?
Hivi New Castle, Evaton, Leicester nk ambazo ni muda sasa hazijacheza ucl/europa sio bora kuliko akina Maribo, opel nk wanao quality kila mwaka kutoka kwenye viligi vyao?
Kucheza ucl ni jambo jema na ndoto ya kila mchezaji lakini inategemea na timu pia
Leo hii huwezi kumtoa mchezaji Asernal aende Malibor sababu eti ina qualify ucl kila mwaka
Wachezaji woote wanaocheza ligi ndogo za ulaya ndoto zao ni kwenda ligi kubwa ulaya sababu ya exposure na malipo mazuri zaidi
So inapotokea mtu unabeza hili ni labda haujui mpira vizuri
Ha haaaNgoja kwanza kilevi kinitoke kesho nitakujibu vizuri mkuu inshallah
Championship ya England inazidi ligi kuu ya Belgium kwa ubora. Angalia timu ya taifa ya ubelgiji ni wangapi wanacheza ligi ya nyumbaniAmeamua kwenda kushuka daraja
Team ikishuka mchezaji anaweza kuuzwq kwenye timu nyingine. Si lazima ashuke na timu. Pale anatakiwa anaoneshe viwango vya akina Mane au zaha au Adama atauzika kwenye timu nyingine kubwa zaidiStraika wao Wesley kaumia na atakaa nje ya uwanja mpaka msimu ujao tena.
Na ikishuka Championship kupanda tena ni majaliwa; ya Wigan athletic yalee nayaona.
Ndio ulichokiona tu?Team ikishuka mchezaji anaweza kuuzwq kwenye timu nyingine. Si lazima ashuke na timu. Pale anatakiwa anaoneshe viwango vya akina Mane au zaha au Adama atauzika kwenye timu nyingine kubwa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi dhidi ya Brighton ni muhimu sana kwa sasa kuliko kumtangaza Samatta, ingawaje tayari wamehachomekwa kimoja!!! Kumtangaza au kutomtangaza kwa muda tuliotarajia hakuwezi kuleta impact yoyote kwa team ukilinganisha na ku-concentrate kwenye mechi ya kibonde mwenzao!!!Ukimya na upole wa Salim KIkeke unatia mashaka kama kuna deal huko Birmingham.
Duh!!!!Imekuwaje tena? au amekimbia vipimo vya UKIMWI kama Ngasa alivyokimbia kule Al Merreck Sudan?