Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Inaonyesha hata yeye kuwa muislamu kwako unaona ni udini...Ana Mashabiki Wengi Nchini, Ila Kwa Kujenga Msikiti Ndani Ya Jumba Lake Ni Udini Mtupu, Bora Ajenge Jumba Jingine Na Ndani Yake Aweke Kanisa Itapendeza Sana Kwa Mashabiki Wake Wasio Waislam