mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,286
- 6,727
Tafiti zinaonesha kwamba Ziwa Tanganyika lina aina zaidi ya 350 ya samaki wa mapambo, mbali na samaki aina ya migebuka na dagaa zilizozoeleka.
Kwa wakazi, hasa wavuvi Kigoma, hii ni fursa nzuri ya uchumi na utalii. Ni muhimu kwa Serikali kuchukua hatua stahili kutinzana kukuza fursa hii.
Baadhi ya aina hizo ni kama picha zifuatazo
Kwa wakazi, hasa wavuvi Kigoma, hii ni fursa nzuri ya uchumi na utalii. Ni muhimu kwa Serikali kuchukua hatua stahili kutinzana kukuza fursa hii.
Baadhi ya aina hizo ni kama picha zifuatazo