Samaki sangara wabichi (fresh) kutoka mwanza

Samaki sangara wabichi (fresh) kutoka mwanza

alphonce.NET

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,721
Reaction score
6,075
Ninasafirisha na kuuza (bei ya jumla) samaki aina ya sangara kutoka mwanza kwenda mikoa ya Shinyanga, Singida, Dodoma, Morogoro na Dar es salaam


  • Bei ni Sh 5,500 kwa kilo
  • Kiwango cha chini kuuza ni kilo 100 na kuendelea
  • Oda inachukua wiki moja kukufikia
  • Malipo yanafanyika tasilimu (cash) baada ya kufikisha mzigo

Simu/SMS/Whatsapp 0767659145, 0787659145
Email: alphonce@alphonce.net
Skype: alphonce_tz
 
Back
Top Bottom