Samahanini

Joined
Nov 5, 2014
Posts
18
Reaction score
4
wapendwa baada ya kutoa tangazo langu la ufundi wa magari kuna baadhi ya jamaa zangu niliahid kuwafanyia kaz lkn kwa bahat mbaya nilipata ajali kazin nikaumia mkono navkushonwa nyuz 30 na mpaka sasa nipo nyumbani nauguza kidonda.

So no wory mungu akipenda nitapona na kuanza kuwahudumia.
 

Pole braza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…