Samahanini wana Jf i need 2 know ths..

Kwidikwidi

Member
Aug 19, 2011
27
12
Khabari za wkt huu wakuu?..kwa alieitikia bac mwenyez Mungu mwingi wa rehema azidi kumbariki! Jaman naomben mnijuze maana ya hili neno 'lol' coz nimeona lina2mika several tymz jamvini hapa!
 
Khabari za wkt huu wakuu?..kwa alieitikia bac mwenyez Mungu mwingi wa rehema azidi kumbariki! Jaman naomben mnijuze maana ya hili neno 'lol' coz nimeona lina2mika several tymz jamvini hapa!
<br />
<br />
ni kifupi cha 'Laugh Out Loud' utumika unapoandika maneno ya kuchekesha!...lol..
 
kuna thread inazungumzia kwa upana zaidi na maneno mengine mengi.......itafute utajifunza mengi
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">kuna thread inazungumzia kwa upana zaidi na maneno mengine mengi.......itafute utajifunza mengi</span></font></font>
<br />
<br />
nisindikize.
 
Back
Top Bottom