Samahani kwa Kikwete na wana JF

Kwa wale ambao hawakubahatika kuziona, ukitaka kuziona picha hzo gonga HAPA!
 
sijaona hizo picha lakini mtu aki apologies kiasi hicho msameheni tu .... tuko hapa ajili ya kurekebishana na kusaidiana kimawazo... anyway just wanna say you have the guts to come out and apologies like that .. no many people are able to do that .... good to see people like you ..take care.
 



Samahani, DR,. wangu, naomba kujua kumkoma nyani maaana yake nini?
Hafu nakukumbuka sana, siku moja ulilecture KUHUSU "Attitude"!!!! hiyo siku sitakuja niisahau kila nikikuona nakumbuka sana.
 
MwK ni kweli umeomba msamaha lakini sisi siyo wa kukusamehe ila mwenyewe kama aliziona hizo picha. hii ni sawa na kwenda na kumwambia Padri nisamehe nimezini na mke wa mtu wakati yeye mwenye mke hajakusamehe maana hujamwomba msamaha yeye inakuja kweli! Ila hata kutoa hayo maneno uliyotoa kunaonesha ukomavu wa mawazo. Wana JF tuchafuane kwa hoja si zaidi katika mambo binafsi.
 
Nashukuru kwa ukomavu bibie hata mimi siwezi kuamini kama kuna picha zikimuonesha mheshimiwa raisi wetu akila uroda.....tukiwa na watu kama wewe hakika JF tutafika mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…