Mwafrika wa kike, wewe umeshatekeleza wajibu wako, wasiotaka haya wabaki na kinyongo chao, wanaweza pia wakameza... By the way, you just showed your civilisation, you would have just kept quite as many do! Lakini wapo watakaokubeza, nawe wabeze. Otherwise, endelea kumkoma nyani hapa, tayari wengine tume-miss mchango wako in the last 24h that we didnt see u here!