The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,264
Anatangazia Radio/Tv gani? Wengine hatumjui, nafikiri ni mchambuzi bora kwako na si kwangu na wengine tusiomjua!
Mtu mwenyewe wa kuangalia bongo movie na kusikiliza bongo fleva, utamjulia wapi kama kila SAA unaROCK
Bongo movie ni radio station au Tv?
Anaitwa samadu hassan jamaa namkubali sn katika uchambuz wa habar za kimataifa,hachoshi kumsikiliza hasa katika makala zake za anga za kimataifa
Naombeni niwaambie ukweli, mmemtaja Anthon Dialo mmiliki wa vyombo vya habari huko Mwanza, mara ya mwisho kusikiliza Radio Free Africa ililkuwa ni 2005 wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu na siku ambayo JK alivamiwa na mtu1 jukwaani, tangu kipindi hicho nimehamishia makazi yangu Dar sijawahi kusikiliza na wala kuona mtu anasikiliza hiyo radio station kwa hapa Dar, na km wapo waje hapa watoe ushuhuda wao
Naombeni niwaambie ukweli, mmemtaja Anthon Dialo mmiliki wa vyombo vya habari huko Mwanza, mara ya mwisho kusikiliza Radio Free Africa ililkuwa ni 2005 wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu na siku ambayo JK alivamiwa na mtu1 jukwaani, tangu kipindi hicho nimehamishia makazi yangu Dar sijawahi kusikiliza na wala kuona mtu anasikiliza hiyo radio station kwa hapa Dar, na km wapo waje hapa watoe ushuhuda wao
Anatangazia Radio/Tv gani? Wengine hatumjui, nafikiri ni mchambuzi bora kwako na si kwangu na wengine tusiomjua!
Naombeni niwaambie ukweli, mmemtaja Anthon Dialo mmiliki wa vyombo vya habari huko Mwanza, mara ya mwisho kusikiliza Radio Free Africa ililkuwa ni 2005 wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu na siku ambayo JK alivamiwa na mtu1 jukwaani, tangu kipindi hicho nimehamishia makazi yangu Dar sijawahi kusikiliza na wala kuona mtu anasikiliza hiyo radio station kwa hapa Dar, na km wapo waje hapa watoe ushuhuda wao
Naombeni niwaambie ukweli, mmemtaja Anthon Dialo mmiliki wa vyombo vya habari huko Mwanza, mara ya mwisho kusikiliza Radio Free Africa ililkuwa ni 2005 wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu na siku ambayo JK alivamiwa na mtu1 jukwaani, tangu kipindi hicho nimehamishia makazi yangu Dar sijawahi kusikiliza na wala kuona mtu anasikiliza hiyo radio station kwa hapa Dar, na km wapo waje hapa watoe ushuhuda wao