Naombeni niwaambie ukweli, mmemtaja Anthon Dialo mmiliki wa vyombo vya habari huko Mwanza, mara ya mwisho kusikiliza Radio Free Africa ililkuwa ni 2005 wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu na siku ambayo JK alivamiwa na mtu1 jukwaani, tangu kipindi hicho nimehamishia makazi yangu Dar sijawahi kusikiliza na wala kuona mtu anasikiliza hiyo radio station kwa hapa Dar, na km wapo waje hapa watoe ushuhuda wao