moi wa kitaa
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 1,016
- 1,016
Nilipata bahati ya kulelewa na mama wa kambo kwa kipindi kifupi iv
Yule mama alikuwa mama bora tofauti na nilivyosikia kwa watu kuwa mama wa kambo si mama!! Kwangu mimi alikuwa mama! kwa maana alinifunza mambo mengi mazuri ambayo kwa kipindi kile nilihisi ananionea ananitesa
Lakin sasa nimekuwa naona kabisa yale hayakuwa mateso bali yalikuwa ni mafunzo katika dunia!!
Popote ulipo we mama leo nimegundua we Jembe kabsa
Yule mama alikuwa mama bora tofauti na nilivyosikia kwa watu kuwa mama wa kambo si mama!! Kwangu mimi alikuwa mama! kwa maana alinifunza mambo mengi mazuri ambayo kwa kipindi kile nilihisi ananionea ananitesa
Lakin sasa nimekuwa naona kabisa yale hayakuwa mateso bali yalikuwa ni mafunzo katika dunia!!
Popote ulipo we mama leo nimegundua we Jembe kabsa