bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 326
Kwenye Zouk Rhumba huko Diamond na Ally Kiba hawana mpinzani anayewafuata. Ila kwa RnB basi Jux anatoa upinzani mkubwa kwa Rama Dee kwa sasa.
Ametambulisha nyimbo mpya iitwayo sisikii, ni shida kuanzia beat na mpangilio wa sauti.
Nyimbo imefanyika AM Rec na Maneke amehusika kwny mdundo, hakika wimbo ni mtam na kijana amejpanga kwny RnB.
Ikumbukwe Jux alishatoa nyimbo zingne kama Nimedata, napata raha, uzuri wako na nitasubiri, na sasa ametoa Sisikii.
Now naanza kumuelewa Jux.
Ametambulisha nyimbo mpya iitwayo sisikii, ni shida kuanzia beat na mpangilio wa sauti.
Nyimbo imefanyika AM Rec na Maneke amehusika kwny mdundo, hakika wimbo ni mtam na kijana amejpanga kwny RnB.
Ikumbukwe Jux alishatoa nyimbo zingne kama Nimedata, napata raha, uzuri wako na nitasubiri, na sasa ametoa Sisikii.
Now naanza kumuelewa Jux.