jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,521
Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi
Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake
Yani hizi barbershop ndo usiseme kuna vyumba unaingizwa huko ndani ni balaaBora hizo kuliko zile massage parlour sijui massage nini
Wapi mkuu nielekeze saloon moja nikajionee mwenyewe mana raha ya ngoma uchezeHabari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi
Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake
Haya mambo yaendane angalau na ushahidi wa picha.Yani hizi barbershop ndo usiseme kuna vyumba unaingizwa huko ndani ni balaa
Unatamani serikali iliangalieje mkuuHabari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi
Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake
Fafanua umalaya unafanyikaje na madawa yanauzwaje?Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi
Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake
Aisee...Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi
Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake
Shoo bei gani ntakuwepo DSM final za Europa, conference na champs league zoteYani hizi barbershop ndo usiseme kuna vyumba unaingizwa huko ndani ni balaa
Sinza sehemu gani?Nenda Mlimani City, Sinza, Mikocheni na Masaki.