Salum Mwalimu punguza kamba!

Ndipo utakajua umbumbu wa huyu jamaa kama Lema anavyojidanganya na barabara za katikati ya mji pale Arusha kua ni jitihada zake wakati ni mradi wa Serikali uliofadhiliwa na benki ya dunia
Wamezoea kuishi kisanii sana
 
Mtulia kuna fuse itakua imelegea sio kawaida kwa jinsi anavyobwabwaja kwenye kampeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…