Naibu katibu mkuu wa Chadema Zanzibar Salum Mwalimu amekamatwa na polisi huko Mafinga Mkoani Iringa akiwa anajiandaa kuhudhuria kikao cha ndani cha Chama hicho.
Zamu hii wata kuwa wapole tu, wanaume wameshaanza, japo jiwe anaona aibu kuonekana ame banwa ila hana jinsi, tutegemee kuona mabadiriko, hana namna, alidhani kuongoza nchi ni kama familia, unajiamulia tu kinachokuja kichwani