Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,991
TFF Imesema kocha huyo hana muda mrefu wa kufundisha timu hiyo na wako kwenye mchakato wa kupata kocha mpya wa kigeni .
Hayo yamesemwa na na Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau alipoongea na waandishi wa Habari , alidai kwa sasa wanatafuta kocha mwenye utaalam zaidi ili kuipeleka timu Afcon 2019 .
Chanzo - Mwananchi .
Kwaheri Mayanga .
Hayo yamesemwa na na Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau alipoongea na waandishi wa Habari , alidai kwa sasa wanatafuta kocha mwenye utaalam zaidi ili kuipeleka timu Afcon 2019 .
Chanzo - Mwananchi .
Kwaheri Mayanga .