Nicheki mimi nikuuzie yangu, ipo mbezi mwisho njia kwenda goba, ina viti viwili, mashine moja, sterlizer, genereta, sink la kuoshea, waiting chair cha chuma, feni, tv, kingamuzi cha strtimes, taa mbili za kuzunguka.
Fremu imelipiwa hadi mwezi december trh 6.
Kodi 70,000/=
Ipo barabarani na barabara ndio inawekwa lami saivi.
Ipo krb na grocery flan.
Tatizo la hiyo salon ni management tu, mimi niko bize kwa safari sana, nikiweka vijana wanazingua sana, nataka kubadili biashara.
Mapato kwa mwezi yanaweza kuwa zaidi ya 240,000/=au zaidi management ikitulia.
Picha nitawapigia nikirudi.
Nicheki 0713322856