GE2025 Salome Makamba: Rais Samia walipotaka kukuchokoza, walishia kwenye mikono ya sheria wanalia wameonewa

GE2025 Salome Makamba: Rais Samia walipotaka kukuchokoza, walishia kwenye mikono ya sheria wanalia wameonewa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
"Mhe. Rais wewe kama uwaridi unayo miba ambayo ni sheria nzuri, kanuni, taratibu, mila na desturi ambapo pale ulipotaka kuonesha waridi lako kwa kuweka 4R walipotaka kukuchokoza waliishia kwenye mikono ya sheria.

Wewe kama ua zuri ulipotaka kuweka demokrasoa na uwanja sawa wa siasa wale ndugu zangu niliokuwa nao walipotaka kukuchokoza uliwaambia watakutana na miiba kabla ya hamjaliharibu waridi, leo hii wapo kwenye mikono ya sheria wanalia wameonewa.

Wewe ni ua zuri kwa Tanzania."- Salome Makamba, Mbunge na Mwanachama wa zamani wa Chadema akimnadi Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Oktoba 11, 2025 Kahama Mjini Mkoani Shinyanga.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Back
Top Bottom