EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Huyu Mtanzania anakimbilia nini kurudi home mboma wenzake akina Vincent Makori na Shaka Ssari na Sudi Mnete, Zuhura Yunusna wengine wanakaa hadi wanastaafia huko ye vip amekosa connection ya kuhamia idhaa nyingine au kazingua huko?
Na kaoa beberu hapa anaishi kama mgeni maana hatuna duo citizenship au ndio anaukana uraia wa uingereza mazima
Tujadili tafadhali.
===
Miaka 17 ya utumishi wake katika studio za Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) imemfanya kuwa miongoni mwa Watanzania wenye mafanikio zaidi katika fani ya uandishi wa habari na utangazaji.
Jina la Salim Kikeke ni maarufu katika uga wa habari ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
Mtangazaji huyu mahiri wa kipindi cha Dira ya Dunia, alitua Jiji la London nchini Uingereza mwaka 2003 na alianza kuaminiwa taratibu katika shirika hilo.
Na kaoa beberu hapa anaishi kama mgeni maana hatuna duo citizenship au ndio anaukana uraia wa uingereza mazima
Tujadili tafadhali.
===
Miaka 17 ya utumishi wake katika studio za Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) imemfanya kuwa miongoni mwa Watanzania wenye mafanikio zaidi katika fani ya uandishi wa habari na utangazaji.
Jina la Salim Kikeke ni maarufu katika uga wa habari ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
Mtangazaji huyu mahiri wa kipindi cha Dira ya Dunia, alitua Jiji la London nchini Uingereza mwaka 2003 na alianza kuaminiwa taratibu katika shirika hilo.