Lablife tunajihusisha na uuzaji wa bidhaa za maabara/vitenganishi tiba (Lab supplies and Reagents)
Tunatafuta mfanyakazi kwa ajili ya kuuza dukani pia na kufanya utambulisho wa bidhaa (marketing) katika vituo vya afya na Hospital.
Sifa za muombaji za lazima
-Awe mkaazi wa Morogoro
-Awe na certificate ya marketing, business au inayofanana na hizo
-Awe na certificate ya maabara (Lab technician)
Tuma CV na Coverletter kwa email hii lablifetz@gmail.com
watakaokizi vigezo tu ndio watakaoitwa interview
Deadline : 2nd sept 2018
Tunatafuta mfanyakazi kwa ajili ya kuuza dukani pia na kufanya utambulisho wa bidhaa (marketing) katika vituo vya afya na Hospital.
Sifa za muombaji za lazima
-Awe mkaazi wa Morogoro
- Umri miaka 18 - 30
-Awe na elimu isiyopungua form four
-Awe tayari kusafiri kutoka sehemu ya kazi kwa ajili ya kutangaza bidhaa itakapohitajika
-Awe na uwelewa wa mkoa wa Dar es salaam
-Awe muaminifu na mchapakazi
-Awe na certificate ya marketing, business au inayofanana na hizo
-Awe na certificate ya maabara (Lab technician)
Tuma CV na Coverletter kwa email hii lablifetz@gmail.com
watakaokizi vigezo tu ndio watakaoitwa interview
Deadline : 2nd sept 2018