Sales Agents 10 wanahitajika kwa malipo ya Commission

tata0193

Member
Jul 17, 2011
84
33
Habari, kwa niaba ya mteja wetu wa kampuni ya nishati mbadala, tunahitaji vijana 10 watakao kuwa ni direct sales agents wa bidhaa za kampuni.

Vigezo
1. Umri usizidi miaka 30
2. uwe na level ya elimu kuanzia
certificate.
3. Mwenyeji na mkazi wa Dar
4. uwe tayari kwa malipo ya commission ambayo ni nzuri sana

Tuma cheti cha o-level,elimu ya juu na kurasa moja itakayoeleza model yako ya mauzo na strategies zako.

kwenda tatamwise@gmail.com

mwisho wa kupokea maombi ni 06/06/2019
 
Email yenyewe ya kihuni (siyo ya kampuni) jitahidini mfiche vingine kwa nje ili mtu akija mnamkung'uta kisawasawa.
 
Hizi ndio zile kazi zenye mabango kwenye nguzo za umeme. Unabebeshwa madishi ya vyombo ukauze
Habari, kwa niaba ya mteja wetu wa kampuni ya nishati mbadala, tunahitaji vijana 10 watakao kuwa ni direct sales agents wa bidhaa za kampuni.

Vigezo
1. Umri usizidi miaka 30
2. uwe na level ya elimu kuanzia
certificate.
3. Mwenyeji na mkazi wa Dar
4. uwe tayari kwa malipo ya commission ambayo ni nzuri sana

Tuma cheti cha o-level,elimu ya juu na kurasa moja itakayoeleza model yako ya mauzo na strategies zako.

kwenda tatamwise@gmail.com

mwisho wa kupokea maombi ni 06/06/2019
 
Utashangaa joto la Dares salaam MTU kachomekea na kuvaa tai na kiatu cha mkuki moyoni ana fuko kubwa la bidhaa anatembeza tokea Mwenge hadi Posta
Kwapa na pumb*/papuchi zote zimelowa jasho ndembe ndembe.
Hizi ajira hizi,hatariiiii!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom