Habari, kwa niaba ya mteja wetu wa kampuni ya nishati mbadala, tunahitaji vijana 10 watakao kuwa ni direct sales agents wa bidhaa za kampuni.
Vigezo
1. Umri usizidi miaka 30
2. uwe na level ya elimu kuanzia
certificate.
3. Mwenyeji na mkazi wa Dar
4. uwe tayari kwa malipo ya commission ambayo ni nzuri sana
Tuma cheti cha o-level,elimu ya juu na kurasa moja itakayoeleza model yako ya mauzo na strategies zako.
kwenda tatamwise@gmail.com
mwisho wa kupokea maombi ni 06/06/2019
Vigezo
1. Umri usizidi miaka 30
2. uwe na level ya elimu kuanzia
certificate.
3. Mwenyeji na mkazi wa Dar
4. uwe tayari kwa malipo ya commission ambayo ni nzuri sana
Tuma cheti cha o-level,elimu ya juu na kurasa moja itakayoeleza model yako ya mauzo na strategies zako.
kwenda tatamwise@gmail.com
mwisho wa kupokea maombi ni 06/06/2019